Tanzanian singer, songwriter and WCB Wasafi signee, Lava Lava comes through with yet another extraordinary hit song titled “Tuna Kikao” featuring Diamond Platnumz.
On the other hand, this impressive and captivating track was brought to you by Ziiki Media was released on the 8th July 2023.
if you like good music, you’ll undoubtedly add this jaw-dropping impressive captivating song to your playlist.
Enjoy and Download!
DOWNLOAD MP3
LYRICS
Sisi ni walevi tunakesha bar
Tunatumia hela hatujaja kushangaa
Weee Zombii Haujui?
Mimi simba na masimba dangotee
Eeeeh lovebite ninja kong fuu master
Aaaaaaah!! Master
Sisi ni walevi tunakesha bar
Tunatumia hela mpaka jua lianze ngaa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao tuna kikaoo tuna kikao
Eeeh! tupishe bwana (Wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (Tuna kikao)
Tupishe bwana (Tuna kikao)
Eeeh! tuna kikao (Tuna kikao)
Wazee wa nyumba tutajenga mwakani (Ndo zetu)
Kwanza heshima mezani (Ndo zetu)
Kikubwa gheto na bebe iwe ndani (Ndo zetu)
Na mama ale nyumbani
Tukizikosa kitonga (Ganda la ndizi)
Tukizipata ndo maboss (Matumizi)
Tukiwa bwii kuhonga (Vinganganizi)
Tunatakaga Ile kitu (Ya uzinzi)
Jamani sisi ni walevi tunakesha bar
Tunatumia hela mpaka jua lianze ngaa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao, tuna kikao, tuna kikao
Eeeh! tupishe bwana (Wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (Tuna kikao)
Tupishe bwana (Tuna kikao)
Eeeh! tuna kikao (Tuna kikao)
Eeeh! Eeeh!
Mishoti tu zayogo ndo chini
nyanganyanga
Na ukinchekea kidogo aah umetafunwa bwana
Kushoto na zombi kulia tosi
Ni mwendo wamonde na misosi
Ikikushinda chonde usijifosi
Sie mpaka ligonge la utosi
Eti nilale nimlalie nani
Wakati pesa nimeishika ukubwani
Nilaaale kwa usingizi gani
Wakati umaarufu nimeupatia ukubwani
Na wakiutaka motooo moto nawatembezea kifuu
Oosh! Kamata mutoto ghetto kifo cha mende miguu juu
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka unamwaga mwaga
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha eeh fanya ka unamwaga mwaga
Sisi ni walevi tunakesha bar
Tunatumia hela mpaka jua lianze ngaa
Kama pombe we hauwezi hapa hapoto kufaa
Nenda meza za inzi kwa wenzako wanao shangaa
Wenyewe tuna kikao
Tuna kikao tuna kikao tuna kikao
Eeeh! tupishe bwana (Wenyewe tuna kikao)
Tuondolee kelele (Tuna kikao)
Tupishe bwana (Tuna kikao)
Eeeh! tuna kikao
Kama nikinywa mi nakukera shauri zako (Shauri zako)
Kwani mifigo si ya kwangu mimi au ya kwako (Au ya kwako)
Eenh! kwani natumia ya kwangu hela au ya kwako (Au ya kwako)
Mtoto wa kiume punguza shobo utashikwa taaa! (Aaaahh!)
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha fanya ka una mwagamwaga
Asa waonyeshe ka chupa halijakwisha baba
Asa tingisha tingisha eeh fanya ka una mwagamwaga
Jamani sisi ni waa