Popular Tanzanian singer and songwriter, Ben Pol teams up with Kizz Daniel from Nigeria on this compelling afropop tune titled “Zai“.
And this melodious record was officially released on 22 June 2018.
We would like you to add this undeniable hit song to your playlist, you won’t regret it yuh.
Listen up below!.
DOWNLOAD MP3
LYRICS
My man
Tiddy Hotter
Ugali tembele nawe
Kuku na mchele mama
Mvua pii jua nawe ehh
We ndo unani jua sana
Ulichokimbilia kukifanya
Si chakiungwana
Mungu anakuoana eh ihh
Tumeishima Maisha mazuri sana
Mina we kimwana
Hadi kufanana oh ohh
Zai, oh Zai
Zai, unanionaje
Zai, oh Zai
Zai, imekuaje
Kumeachana jana
Leo una bwana tena mmeshibana
Kuachana jana leo una bwana
Eti mnapendana Ooh ooh
Fine au ulikua vile
How? mapenzi yameanza lini?
How? masaa ishirinina nne
How? bado nashindwa kuamini
Ulichokimbilia kukifanya
Si chakiungwana
Mungu anakuoana eh ihh
Tumeishima Maisha mazuri sana
Mi nawe kimwana
Hadi kufanana oh ohh
Zai, oh Zai
Zai, unanionaje
Zai, oh Zai
Zai, imekuaje
Zai Zai Zai we, kizai zai we
Zai Zai Zai we
Zai Zai Zai we, kizai zai we
Zai Zai Zai we